muhtasari wa Elimu ya Msingi Darasa la I na la II

File Information
Total Downloads
Total Views
1
Publish Date
April 21, 2025
Last Updated
April 21, 2025
Version
Size
373 KB

Maandalizi ya muhtasari wa Elimu ya Msingi Darasa la I na la II yamehusisha wataalamu mbalimbali kutoka taasisi za serikalina zisizo za serikali.Taasisi ya Elimu Tanzania (TET),inatambua na kuthamini michango ya washiriki wote waliofanikishakupatikana kwa muhtasari huu.Aidha,TET inatoa shukurani za pekee kwa wahadhiri,wakufunzi,wathibiti ubora wa shule,walimu pamoja na wakuza mitaala.Vilevile,TET inaishukuru Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Kusimamia Kazi ya Maboreshoya Mitaala ya Elimu ya Awali,Msingi,Sekondari na Ualimu iliyoteuliwa na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia.Kamatihii ilifanya kazi kwa weledi na kuhakikisha kuwa maudhui ya muhtasari huu yanalenga kuwa na wahitimu wenye maarifa,ujuzina stadi zitakazowawezesha kujiajiri,kuajiriwa na kumudu maisha yao ya kila siku,ambalo ndilo lengo kuu la Uboreshaji waMitaala ya Mwaka 2023

ATTACHED FILES
FileAction
muhtasari-I-na-II.pdfDownload

All Categories

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Standard 7 Mock examinations Morogoro

Standard 7 Mock examinations Standard 7 mock examinations serve as a crucial preparatory stage for…

Standard VII Mock exams Serengeti

Standard VII Mock exams Serengeti Across the vast plains and communities of the Serengeti region,…

Form 4 pre mock Dar es salaam 2025

Dar es salaam form four pre mock examinations Form four pre-mock examinations serve as an…